Thursday, January 01, 2015

WILFIED BONY AWINDWA NA MAN CITY

24457D2A00000578-0-image-a-54_1420058218252
Wilfried Bony anawindwa na Manchester City 
 
Manchester City wameanza mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji wa Swansea City, Wilfried Bony kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 25.
Mwenyekiti wa Swansea,  Huw Jenkins  alisema jana kuwa klabu yake haijapokea ofa yoyote mpaka sasa, lakini City wameshafungua mazungumzo ili kumnasa Muivory Coast huyo ambaye pia anawaniwa na Real Madrid.
Mazungumzo yalifanyika na washauri wa Bony jana usiku.
Wiki ijayo Bony ataenda Abu Dhabi ambapo Ivory Coast imeweka kambi ya kujiandaa na michuano ya mataifa ya Afrika mwaka huu. Tangaza biashara yako hapa kwa bei nafuu zaidi, pia usisahau ku-Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Kwa Kubofya/ Click Neno Jambo Tz.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...