Tuesday, November 11, 2014

ROONEY AKIJIANDAA KUICHEZEA ENGLAND MCHEZO WA 100,ATEMBELEA SHULE YAKE YA MSINGI

7
Mshambuliaji wa England Wayne Rooney akijiandaa kuandika historia ya kuwa miongoni mwa wachezaji walioichezea timu yao ya Taifa michezo 100 na zaidi.
Mara nyingi wachezaji wa England wanapokuwa wamecheza michezo 99 huwa na utamaduni wa kwenda kwenye shule zao na kupigia picha na jumla ya wanafunzi 99
England inajiandaa kucheza mchezo wa kufuzu fainali za Euro 2016 dhidi ya Slovenia mwishoni mwa juma hili kwenye dimba la Wembley,huenda Rooney ambaye pia ni nahodha wa kikosi hicho akatimiza mchezo wa 100 siku iyo na kuwa mchezaji wa 9 kuichezea England michezo 100.
6 Baadhi ya wachezaji wengine waliofanikiwa kuvaa jezi ya England mara 100 na zaidi katika kipindi cha miaka 142 tangu timu hiyo ianzishwe ni: 5 Peter Shilton, David Beckham, Steven Gerrard, Bobby Moore, Ashley Cole, Frank Lampard, Bobby Charlton na Billy Wright – Asante kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz
 
Hiyo ndio ilikuwa sababu ya Rooney kurejea kwenye shule yake ya Primary, Our Lady and St Swithin’s Catholic Primary School iliyopo kwenye jiji la Liverpool.
8

2
siku ambayo DAVID BECKHAM alikuwa nacheza mchezo wa 100 alikabidhiwa kofia ya dhahabu……..
1
LAMPARD pia alikabidhiwa kofia ya dhahabu kama ilivyo kawaida………..
4 STEVEN GERRARD pia……… Asante kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...