Thursday, April 11, 2013

KAULI YA ZITTO KUTOKA BUNGENI ASUBUHI HII

CAG ameweka mezani taarifa yake asubuhi hii. Katika mkutano wa Kumi wa Bunge, Serikali ilifanya mabadiliko ya Sheria ya Ukaguzi ya mwaka 2008 Kwa kubadilisha vifungu 38, 39 na 40 ambapo Serikali ingeleta majibu yake sambamba na Taarifa ya CAG. Serikali haikuleta majibu hayo. Wamevunja Sheria wakiisha nikiwa siku ya kwanza ya kuanza kutekelezwa kwake. Spika alipowataka Serikali kutoa majibu, Mawaziri walibaki kutazamana tu

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...