Friday, April 19, 2013

ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CHADEMA AKIUMBUA CHADEMA

Aliyekuwa Mweyekiti wa Chadema Kata ya Mkalama Gairo Mkoani Morogoro, Zefania Magida akikaboidhio kadi yake kwa Kinana baada ya yeye na wenzake 689 kutangaza kuhamia CCM katika kutano wa hadhara uliofanyika jioni hii kwenye uwanja wa shule ya msingi Gairo B,wilayani Garo mkoani Morogor


Zefania Magiga aliyekuwa Mwenyekiti wa kata Chadema,akitangaza rasmi kuhamia CCM kwenye Mkutano wa hadhara ulifanyika Gairo mbele ya Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahaman Kinana


No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...