Friday, March 29, 2013

P FUNK AMCHANA MAKAVU MSANII NAY WA MITEGO

Producer maarufu bongo na mmiliki wa studio za bongo record P funk Majan ametoa makavu kwa watu wanaochonga kuhusu maendeleo yake husasani wale wote ambao wanapiga majungu kuwa mkali huyo amepotezwa na vijana wadogo kwenye soko la mziki bongo.
“Kuna watoto wadogo siku hizi wanakurupuka wanajiona wao baabkubwa juzi kati nikiwa kwenye club moja naskia kiproducer kinachonga kuhusu mimi kenyewe kana sijui nyimbo moja au tatu zimehit mimi nina yimbo zaidi ya 100 ambazo zimehit na hadi akina Mhe Mkapa enzi hizo, wametukubali we utaniambia nini” P funk alifunguka.

Majani amefunguka kuwa kuna watu wanamtafuta chuki ili kumpachika skendo akitolea mfano msanii wa kizazi kipya Ney wa Mitego kuwa haelewi kitendo cha rapper huyo kumtukana kwenye nyimbo yake kulikua na lengo gani kwasababu msanii huyo hamkaribii hata kidogo kwa level zake.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...