Friday, March 29, 2013

BEAKING NEEEEEWZZZZZZZZ!!!!! GHOROFA LIMEANGUKA MITAA YA ILIGANDI K/KOO

Mpaka sasa watu watu 12 wameshapoteza maisha,limedondokea msikiti wa SHIA.
Mpaka sasa eneo la tukio kuna mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na meya,Mmiliki wa jengo hilo bado hajajulikana.Ndani ya jengo hilo kulikuwa na watu wasio pungua 60 wakiendelea na ujenzi.Watu zaidi ya 14mpaka sasa wameshakimbizwa hospitali. Tutaendelea kuwajulisha zaidi.
Chanzo bado hakijajulikana waokoaji wako wanaendelea na shughuli za uhokoaji zinaendelea..
Limeangukia msikiti na ndani kulikuwa na watoto,mpaka sasa watu 10 wameshakimbizwa hospital.Jengo hilo lilikuwa linaendelewa kujengwa lina golofa 16.
              
Picha kutoka K/KOO eneo la tukio. Picha Irene Mwamfupe

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...