Tuesday, March 05, 2013

NICKI MINAJ AWATIMUA WAFANYAKAZI WAKE

Kutokana na kuwepo kwa uvumi wa kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha sura yake Nicki Minaj awatimuwa kazi watengeneza nywele pamoja na wapambaji wake muda mfupi kabla ya kupanda jukwaani

Nicki amewatimuwa wafanyakazi wake hao siku moja baada ya rapa huyo kusema kwamba hajafanyiwa upasuaji wowote wa kurekebisha sura yake

Chanzo cha habari kinasema kuwa "Nicki anajaribu kutengeneza hali ambayo watu wanamuheshimu kama msanii amemfukuza kazi mtengeneza nywele wake wa muda mrefu"

"Nicki anaamini kwamba sasa amemalizana na masuala ya American Idol hivyo watu wataanz kumuangalia kwa jicho la tatu kipindi hiki ambacho anapanga kutoa albamu yake mpya ya Hip Hop

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...