Tuesday, March 05, 2013

SAKATA LA DIAMOND PLATNUM KUMDHURUMU MENEJA WAKE

                                  Raque akiwa na Diamond kwenye interview
Meneja wa Diamond Platnumz, Raqey Mohamed amelazimika kutumia mtandao wa Facebook kukanusha habari iliyoandikwa na gazeti la udaku la ‘Jumatatu’ kuwa ametapeliwa na Diamond. Amesema Diamond ni mchapakazi na mwaminifu na mkataba wao hauhusiani na mtu yeyote.

Raqey ameandika, “this is coming from me Raqey known as Diamond Platnumz Manager, hakuna ukweli wowote juu ya habari hii, Diamond is a hard working kind and loyal. Our contract has nothing to do with anybody. If you want to write a story at least pay a visit to my studio or call me before you write a story.”

Bongo imempigia simu Raqey ambaye ameendelea kusisitiza kuwa habari hiyo ni ya uzushi na ya upuuzi mtupu.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...