Wednesday, March 06, 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE BUTIAMA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza jambo na Mama Maria Nyerere, wakati alipomtembelea nyumbani kwake Butiama Machi 4, 2013.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza jambo na Mama Maria Nyerere, wakati alipomtembelea nyumbani kwake Butiama Machi 4, 2013. Kushoto ni Mke wa Makamu, Mama Asha Bilal.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...