Saturday, February 23, 2013

mama salma kikwete aongoza hafla ya kuchangia wanawake matatizo ya afya,zaidi ya mil 142 zapatikana

Kutoka Kushoto Ni Josephat Lukaza wa Lukaza Blog na Ahmady Michuzi wa Jiachie Blog akifuatiwa na Henry Mdimu wakimuvuzisha matukio wakati wa hafla ya kuchangisha pesa kwaajili ya wanawake wenye mahitaji maalumu Tanzania iliyofanyika Jana Katika Hoteli ya Serena
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Montage (iliyoandaa hafla hiyo),Teddy Mapunda akimpa zawadi ya heshima Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete mara baada ya kuifanikisha vyema tafrija hiyo maalum ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wanawake wenye matatizo ya afya hapa nchini kupitia mfuko wa Montage Charity Ball,iliyofanyika jioni ya leo kwenye Hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...