Saturday, February 23, 2013

JEURI YA FEDHA,DIAMOND PLATNUM AMJENGEA HEKARU MAMA YAKE LA MILLION 260



Karibu kila mtu anayeufuatilia muziki wa Bongo Flava anajua Diamond ndio msanii anayetafutwa zaidi kwaajili ya show kuliko msanii yeyote Tanzania but nani alifahamu kuwa amemjengea mama yake nyumba yenye thamani ya shilingi milioni 260?

Lakini hivyo ndivyo alivyofanya msanii huyu kipenzi cha kinadada kwa mujibu wa kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM kama alivyofunguka jana.

Na kwa mujibu wa interview aliyoifanya hivi karibuni kwenye kipindi kingine cha XXL katika kituo hicho cha radio, hitmaker huyo wa Mawazo yuko booked hadi mwezi July.

“Mtu anasema yeye ananiroga mimi nashuka mwezi mzima ntakuwa na show Europe, Jumamosi nina show Hyatt pale, Jumapili nina show Mombasa wiki inayofuata ninasafiri naenda nje nina show kama kumi yaani ukinibook mimi mpaka mwezi wa saba nimejaa wewe unaniambia mimi nimeshuka vipi,” alisema Diamond.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...