Saturday, February 23, 2013

HUYU MTANZANIA AMEKAMATWA NA KIGANJA CHA MKONO WA BINADAMU-SONGEA

Picture
Mtuhumiwa aliye kamatwa na kiganja cha Binadamu Denes Fransis Kafinje akihojiwa na Jeshila Polisi Mkoani Ruvuma. (picha ya kiganja imefichwa nyuma ya picha hii, ikiwa una ujasiri, bofya picha kukiona)
Ni jambo la kipumbavu linaloendelea miongoni mwa wanajamii wanaoamini na kutegemea kufanikiwa na kupata faida kubwa katika biashara zao kwa kutumia viungo vya binadamu wengine.

Kwa mujibu wa Songea Habari - Yaliyojiri Mkoani Ruvuma  blog, zipo tTarifa zilizotolewa na RPC Mkoa wa Ruvuma,  Deusdedit Nsimike kuwa kijana mmoja kwa jina la Denes Fransis Kafinje mkazi wa Lizaboni amekamatwa akiwa na kiganja cha mkono wa binadamu akiwa amekihifadhi kwenye boksi.

Kwa kuwa hadi sasa  hazijaripotiwa mkoani humo tarifa za mtu kukatwa kiganja, huenda kimetoka mkoa mwingine.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...