Saturday, February 23, 2013

LIGI KUU YA VIDACOM LEO YANGA VS AZAM



Uwanja wa taifa leo mtoto hatumwi sokoni wakati timu mbili zinazotafuta uongozi wa Ligi Kuu zitakapokwaana. Mabingwa wa afrika Mashariki na kati Yanga wataikaribisha Azam katika mchezo utakaovuta hisia za wapenzi wa soka nchini kutokana na zote kuwa juu mwa msimamo wa Ligi kwa kulingana point. Macho pia yatakuwa kwa washambuliaji wanaoongoza kwa ufungaji mpaka sasa, Didier Kavumbagu wa Yanga mwenye mabao 8 na Kipre Tchetche wa Azam mwenye mabao tisa.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...