Monday, April 29, 2013

MIAKA 13 YA LADY JAY DEE KWENYE MUZIKI KUDONDOSHA BONGE LA PARTY

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Katika mwaka huu 2013, Inatimia miaka13 tangu nianze kazi ya muziki.
Nashukuru MUNGU tukopamojanapia, nashukuru umma wa Tanzania kwa kuendelea ku support muziki wa Tanzania nakunipa nguvu mimi kama msanii.
Nashukuru vyombo vyotevya habari vinavyoshiriki kikamilifu kukuza na kulinda sanaa ya Tanzania bila kujali maslahi binafsi.
Tumeandaa sherehe kubwa na nzuri ya miaka 13 ya LADY JAYDEE, katika muziki. Na mdhamini mkuu kwa upande wa media ni East Africa TV. Shereheyamiaka 13 ya Lady Jay Dee katika muziki itaambatana na uzinduzi wa album yangu ya sita inayokwenda kwa jina la NOTHING BUT THE TRUT ambayo ina jumla ya nyimbo 10.

Katika sherehe hizo pia kutakuwa na show ya nyimbo zote bora za Jay Dee nikishirikiana na baadhi ya wasanii wenzangu hapa nchini.
Sherehe zitafanyika Ijumaa tarehe 31 May 2013.

Nawakaribisha wote tufurahi pamoja
Na Mungu awabariki

AY Kuachia "JIPE SHAVU" Jumatano Hii ..


!!! YEEESAYAAH !!! 
Mwanamuziki kutoka Tanzania, Ambwene Yessayah a.k.a AY au pia unawweza kumuita "Zee La Commercial" anataraji kuachia ngoma yake nyingine hivi karibuni ...
AY ambae bado machoni mwako anafanya vizuri na video SPEAK WITH YA BODY, PARTY ZONE na MONEY zinazopigwa katika televisheni kubwa duniani kama Channel O na TRACE TV ya Ufaransa soon anaachia JIWE hilo litakalofahamika kama JIPE SHAVU ...
JIPE SHAVU is the next single from AY akiwa amemshirikisha mshkaji wake wa karibu akijulikana Fid Q [that Illest Hip-Hop dude from MWANZA City] ...
Hapa "Zee La Commercial" na hapa pembeni ni "Zee La Hardcore" ... JIPE SHAVU ...
Dundo hilo according to AY, limefanywa na Producer Q ikiwa ni katika studio za MPO AFRICA zilizopo maeneo ya mikocheni ...
AY anasema ngoma hiyo itaachiwa rasmi jumatano hii katika sehemu tofauti ... As to fans wakae tayari kupokea kazi nyingine bora kabisa kutoka kwake ...
AY na rapper Fid Q waliwahi kufanya ngoma mbali mbali nzuri za pamoja ikiwemo USIJARIBU yenye video yake pia ...
Let's wait for JIPE SHAVU afu tuone ...

"UREMBO SIYO KIPAJI NA SI KILA MWANAMKE MZURI ANAWEZA KUIGIZA"...JACKLINE WOLPER

Muigizaji Jacqueline “Jackie” Wolper amewashangaa wanaodhani kuwa urembo wa mwanamke ni mbadala wa kipaji hasa katika sanaa ya maigizo.

Alisema urembo ni moja ya sifa ya mwanamke lakini kamwe hauwezi kumfanya asiye na kipaji kuwa nacho.
 
“Ukiwa mrembo ni bora zaidi,kwa kuwa itamfanya avutie kwenye movie,lakini pamoja na hayo ni lazima awe na uwezo wa kuigiza kulingana na kipande husika”alisema Wolper.
 
Wolper aliendelea kulalama kuwa kila mtu akijona ana sura ya kuvutia na umbo zuri basi anajua anaweza kuigiza ndio maana matokeo yake wanafanya vitu sivyo na mwisho wake wanaacha fani kabisa.
 
Alifafanuwa kuwa kuigiza ni zaidi ya urembo hivyo yeyote ambaye anafikiri anaweza kufanya kazi hii kwa uzuri wa sura na umbo ajaribu kama hakuchemka.

Source: Mwananchi

Sunday, April 28, 2013

GARI JIPYALA MILIONI 35 ALILONUNUA NEY WA MITEGO PAMOJA NA BASTOLA HAPA

Mwaka 2013 ni mzuri kwa rapper Nay wa Mitego. Licha ya kuwa na hit single hewani, Muziki Gani aliyomshirikisha Diamond, rapper huyo amenunua ndinga mpya aina ya Mark X yenye thamani ya shilingi milioni 35. Kama hiyo haitoshi, hitmaker wa Nasema Nao, amejihami pia kwa kununua bastola.
29ddba2cae6b11e2aeda22000a1f973b_7


Nay akiwa na bastola yake
Nay akiwa na bastola yake
Nay ameshare picha hizo kwenye Instagram na Facebook ambapo miongini mwa picha za gari lake ameandika, ‘My new car. Mark X, Zic z wat I nid.” Mwaka huu Nay ametumiwa kwenye show nyingi za Airtel na Vodacom ambazo huenda zimemwingizia mkwanja wa kutosha.
23a19536ae6e11e2942122000aaa0535_7

82d44f72ae6d11e2a2ce22000a1fa411_7

a2364980ae6b11e2b9ed22000a1f8cd8_7

d07e1cfaae6b11e2b09522000a1f9363_7

dc3c1784ae6d11e28c1022000a9e08e0_7


MBUNGE LEMA AZUILIWA KUPIGA MSWAKI WALA KUNYWA CHAI AKIWA MAHABUSU...... !!

TUKIO la kukamatwa na kuwekwa mahabusu kwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), kwa madai ya uchochezi, limeibua sura mpya baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutajwa kuwa nyuma ya mkakati huo,
 
Lema ambaye bado anaendelea kusota rumande siku ya tatu baada ya kunyimwa dhamana, ameanza kufanyiwa vituko na Jeshi la Polisi baada ya jana asubuhi mkewe kuzuiliwa asimpe mswaki wala chai.
 
Mbunge huyo alikamatwa kutokana na amri ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo, aliyedai kuwa aliwachochea wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha kumzomea kiongozi huyo na kupopoa gari lake kwa mawe.
 
Hata hivyo, siku moja kabla ya kukamatwa Lema aliwaonesha waandishi wa habari ujumbe mfupi wa simu ya kiganjani aliyotumiwa na Mulongo akimtishia kuwa atamfungulia kesi yoyote anayoitaka.
 
“Umeruka kihunzi cha kwanza, nitakuonesha kuwa mimi ni serikali, ulikojificha nitakupata na nitakupa kesi ninayotaka mimi,’’ ulisomeka ujumbe huo uliotumwa kupitia simu namba 0752 960276 ambayo Lema alidai ni ya Mulungo.

MSANII SIZE NANE ALILIA BIKRA YAKE HADHARANI...!!

Mwanamuziki  aliyeitikisa vilivyo Kenya kabla ya kuokoka na kuachana na muziki wa kidunia, mwanadada Size 8 sasa ameanza kufunguka katika interview kwenye vituo mbali mbali vya redio na Tv kuhusiana na maisha mapya ya kidini.

Kati ya  mambo yote ambayo Size 8 amekuwa akiyaongelea, ni moja tu ambalo amekuwa akilitilia mkazo kwa kumaanisha kuwa linamsikitisha zaidi .....Jambo hilo ni lile la kupoteza BIKRA YAKE.....
Size 8 ameziambia media kuwa  "Najutia sana kupoteza bikra yangu. Ninaamini kuwa kijana anatakiwa kujilinda na kujizuia kufanya ngono katika ujana wake wote mpaka atakapo pata kibali toka kwa Mungu."

KIONGOZI WA KANISA AZIKWA AKIWA HAI

26 46e3f
Msaidizi wa zamani wa Padri (Katekisita) katika Kigango cha Kanisa Katoliki Kijiji cha Mkwajuni, Florian Mwamosi (70) amekufa baada ya kuzikwa akiwa hai katika kaburi moja na mtu anayedaiwa kumuua kwa njia ya kishirikina.
Tukio hilo limetokea katika Kitongoji cha Maweni kijijini hapo wilayani Chunya mkoani Mbeya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani alikiri kutokea kwa tukio hilo akieleza kuwa lilitokea saa 9:00 mchana katika kijiji hicho cha Maweni Mkwajuni wilayani Chunya.

"Marehemu aliuawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa na mawe kwa tuhuma za kuhusika na uchawi na kusababisha kifo cha Peter Robert," alisema.
Kamanda Athumani alisema kuwa uchunguzi kuhusiana na tukio hilo unaendelea na kwamba wahusika wote wa tukio hilo wamekimbia na kuzihama nyumba zao, hivyo polisi wanaendelea na msako wa kuwatia mbaroni watuhumiwa na kwamba tayari kaburi hilo limefukuliwa jana kutenganisha maiti hizo.

WEMA AFUNGUKA INSTAGRAM BAADA YA KUSOMA MOJA YA GAZETI KWAMBA ANA BEEF NA LULU

BEYONCE AWAPIGA MKWARA WAPIGA PICHA, HIKI NDO ALICHOKISEMA

Baada ya kukerwa na picha alizopigwa wakati wa tamasha la SuperBowl ambazo anaona zilimdhalilisha, mwanamuziki Beyonce amefikia maamuzi magumu ya kuwakataa wapiga picha

Kwa mujibu wa barua pepe iliyotumwa kwenye ukurasa wa facebook wa Umoja wa Wapiga picha za Muziki imeeleza kuwa mwanamuziki huyo haitaji tena wapiga picha katika shoo za ziara yake ya sasa ya Ulaya

Badala yake amekuwa akitoa picha rasmi zilizopigwa kutoka katika shoo na wapiga picha maalum aliowakodisha.

MAGAZETI YA LEO APRIL 28 2013 KURASA ZA MWANZO NA MWISHO

.

.
.
.

Mawaziri, wabunge CCM warushiana 'makombora'



Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), jana walishambuliana huku waliokuwa mstari wa mbele kuikosoa serikali katika vikao vya bajeti vinavyoendelea mjini Dodoma wakituhumiwa kukiua chama na kukipa nguvu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Kikao hicho ambacho kilikuwa chini ya Mwenyekiti wake, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kilifanyika katika ukumbi wa Bunge wa Pius Msekwa mjini Dodoma.

Pinda alianza kwa kuweka hoja mezani akitaka wabunge wa CCM kuchangia Sh.100,000 kila mmoja kwa ajili ya kuwezesha ushindi katika uchaguzi mdogo wa madiwani unaotarajiwa kufanyika katika kata 26 nchini.

Hoja hiyo iliungwa mkono na wabunge hao, lakini alisimama Mbunge wa Mwibara, Alphaxard Khangi Lugola, akihoji kulikoni wanaosaidiwa na chama wakawa madiwani ili hali wabunge walio na kesi mahakamani wakiachwa kugharamia kila kitu wenyewe.
“Si unajua nyoka wa shaba (Lugola), ana kesi mahakamani, sasa ndiyo maana akaamua kuhoji, iweje yeye hasaidiwi na chama wakati huo huo anaambiwa akisaidie chama,” alisema mmoja wa wabunge aliyekuwa ndani ya kikao hicho.

Saturday, April 27, 2013

MGANGA AELEZEA ISHU YA DIAMOND KUNG'ANG'ANIA MAITI YA BI.KIDUDE KWA NIA YA KUIBA NYOTA YAKE

Baada ya msiba wa Bi Kidude kumalizika, hivi karibuni ziliibuka taarifa kuwa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ alibaki peke yake na mwili wa marehemu chumbani kwa ajili ya kuchota nyota ya Bi. Kidude.
Leo tunaye Dr Salum Mkumba ambaye ataeleza kwa kirefu tafsiri ya kitendo alichokifanya Diamond.
Funguka: Dr Mkumba asalam aleikum, karibu ndani ya nyumba kubwa ya magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers Ltd.
Dr Mkumba: Waaleikum salaam, ahsanteni nashukuru. Mimi leo nina jambo ninataka niliweke sawa.
Funguka: Liweke sawa, sisi pamoja na wasomaji wetu wa Risasi Jumamosi tunakusikiliza.
Dr Mkumba: Nataka kuweka sawa juu ya suala la nyota, mtu akifariki huwa anakwenda na nyota yake sasa nimeshangaa kusikia Diamond alikwenda kuchukua nyota ya marehemu.
Funguka: Sasa Diamond alipobaki peke yake chumbani na mwili wa marehemu ilikuwa ina maana gani?
Dr Mkumba: Pale alikuwa anajaribu kujisafisha tu katika jamii, hakuna cha ziada.
Funguka: Unaposema anajisafisha, kwani amechafuka?
Dr Mkumba: Eee! Kwani hujui? Amenaswa na mke wa mtu hotelini, skendo za wanawake tofauti zimekuwa zikimtafuna kila kukicha.
Funguka: Unaposema alikuwa anajisafisha una kitu gani cha kushika mkononi?
Dr Mkumba: Surat Nnajimi Sura ya 39 imezungumza kwa kirefu ila tafsiri yake ipo hivi; hakuna anachokichuma mwanadamu kwa marehemu ila marehemu anategemea kuombewa dua na mtu mzima.
Funguka: Kwa hiyo ina maana vile alivyofanya Diamond ni kazi bure?
Dr Mkumba: Nakwambia hakuna cha maana zaidi ya kujisafisha.
Funguka: Sasa una mshauri nini Diamond?
Dr Mkumba: Amrudie mwenyezi Mungu kwa kufanya ibada ya kweli.
Funguka: Vipi kuhusu suala la kujenga msikiti ambalo Diamond alitangaza kuwa ana mpango huo?
Dr Mkumba: Hapo ndiyo kabisa, ajenge tu lakini haisaidii kitu sababu ukijenga nyumba ya ibada inatakiwa utumie fedha ambazo umezipata kihalali katika njia safi.
Funguka: Kwani fedha zake hajazichuma kwa njia safi?
Dr Mkumba: Kiimani yetu ya Kiislam muziki siyo halali hivyo fedha anayoipata kwenye muziki haiwezi kuwa halali.
Funguka: Tunashukuru, karibu tena siku nyingine.
Dr Mkumba: Haya Ishallah!

FATAKI LANASWA LIVE NA MWANAFUNZI GESTI WAKIWA UCHI WA MNYAMA WAKILA URODA..!!



MfanyabiAshara ‘alwatani’ Bongo, mkazi wa jijini Dar, Allain Tajiri amekumbwa na skendo nzito baada ya kufumaniwa na mwanafunzi wa sekondari wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Jumatano ya Aprili 24, mwaka huu katika chumba namba 107 kwenye gesti iitwayo Jamboz iliyopo Kinondoni jijini Dar.

Habari za uhakika zilieleza kuwa tukio hilo lilikuwa ni mtego baada ya walezi wa denti huyo kunasa mawasiliano ya mfanyabiashara huyo akimrubuni binti yao.


Katika mawasiliano hayo, Tajiri alimtaka denti huyo wa sekondari moja iliyopo Kibamba, Dar (jina linahifadhiwa kwa sababu maalum za weledi wa uandishi wa habari), wakutane kwenye gesti hiyo kwa ajili ya kuimomonyoa amri ya sita.

Baada ya walezi hao kuufuma ujumbe kwenye simu ya binti yao, walimuwekea doria bila mwenyewe kujijua na ulipokaribia muda waliokubaliana kukutana gesti, denti huyo aliaga anakwenda ‘tuisheni’.

AIBU ! KIJANA ANASWA AKIMNAJISI NA KUMLAWITI MBUZI HADHARANI....!!

Katika  hali  ya  kushangaza, jamaa  mmoja  nchini  Nigeria  amenaswa  live  akivunja  amri  ya  sita  na  Mbuzi ....
Baada  ya  kufamaniwa  na  wanachi, mwanaume  huyo  alipewa  kichapo  kikali  na  kufangashwa  na  mbuzi  huyo  hadi kituo  cha  polisi.... 
Maswali  yenye  utata  kuhusu  tukio  hilo:
1. Kuna  faida  gani  au  starehe  gani  ya  kufanya  mapenzi  na  mnnyama....
2..Viungo  vya  mwanaume  ni  vikubwa  sana  ukilinganisha  na  vile  vya  mbuzi...huyu  jamaa  aliwezaje....Bora  angechukua  punda  kuliko   kumuonea  mbuzi  wa  watu..!!! 
Niimani  yetu  kwamba sheria  itamfundisha  adabu

KAULI YA MKE WA MBUNGE GODBLESS LEMA SASA HIVI KUHUSU LEMA KUSHIKILIWA POLISI

Taarifa za sasa kutoka Arusha ni kwamba Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi Arusha na kuhojiwa kwa tuhuma za uchochezi wa vurugu za Wanafunzi wa chuo cha Uhasibu dhidi ya Mkuu wa Mkoa Arusha juzi.
Taarifa za uhakika kutoka kwa mke wa Mh. Lema sasa hivi ni kwamba Polisi wamekataa kutoa dhamana yake na kusema mpaka jumatatu ndio itajulikana.

Namkariri Mke wa Lema akiongea na TheTZA millardayo.com akisema “jana usiku saa sita kasoro watu walikuja kugonga nyumbani kwetu tukamtuma kijana aende kutazama ni kina nani, aliporudi akasema ni Polisi.. sisi hatukuamini na tulikataa kwa sababu hatukujua kama ni Polisi kweli au ni watu wanataka kuitumia hiyo nafasi kufanya uhalifu, mimi nimeshinda Polisi kutwa nikifatilia gari mbona chochote hakikutokea?”

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...