Kutokana
na kauli aliyotoa msanii Ommy Dimpoz ya SITAKUFA KIJINGA NA KIMASIKI
KAMA KAMA ALIVYOKUFA NGWAIR, hii ndio kauli aliyotoa baada ya mashabiki
na Wanamuziki wenzake kumaind kwa kile alichokisema

NANUKUHU:
"Samahani
tena sana sitawacha kuomba msamaha, nimekubali makosa na hivi sasa
naelekea nyumbani kwao kuomba msamaha kwa familia na nitue kwa vituo vya
radio kuomba msamaha kwa wabongo na wote niliowaudhi. Samahani sana na
nakubali mimi si mtu bila nyinyi na sikuongea kuhusu legend Ngwair kwa
ila mbaya. One love". mwisho wa kunukuu



















Sina budi kumshukuru
sana mwenyenzi Mungu kwa kunitendea mema na zaidi ya yote kunipa uhai na
afya hadi sasa. Wanasema “shukuruni katika yote” na mimi nalazimika
kushukuru kwa yale yote niliyofunuliwa na kuwa sehemu ya ushuhuda wangu
katika maisha niliyobakiza hapa duniani.












