
Mtihani mpya wa Taifa utaanzishwa kwa wanafunzi wa darasa la pili
nchi nzima, ili kuchuja watakaoshindwa kusoma, kuandika na kuhesabu.
Akifafanua uamuzi wa kuanzishwa mtihani wa Taifa wa darasa la pili, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo alisema mtihani huo ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa matokeo makubwa sasa katika sekta ya elimu.
Malengo ya mtihani huo kwa mujibu wa Mulugo ni kuondoa uwezekano wa kuwa na wanafunzi katika madarasa ya juu, wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu na ili kufikia malengo hayo, watakaoshindwa
Akifafanua uamuzi wa kuanzishwa mtihani wa Taifa wa darasa la pili, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo alisema mtihani huo ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa matokeo makubwa sasa katika sekta ya elimu.
Malengo ya mtihani huo kwa mujibu wa Mulugo ni kuondoa uwezekano wa kuwa na wanafunzi katika madarasa ya juu, wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu na ili kufikia malengo hayo, watakaoshindwa
mtihani huo, watarudia mpaka wajue kusoma na kuandika.






Serena
Williams amefanikiwa kulinda Heshima na Ubingwa wake Wa US OPEN mara
baada ya Kumshinda mpinzani wake Victoria Azarenka Kwa Miaka Miwili
Mfululizo





Moshi mkubwa ukitoka katika meli hiyo baada ya wahusika kujitosa majini.



