Tuesday, September 10, 2013

VILIO VYATAWALA MSIBA WA MSANII WA FILAMU

 Mama mzazi wa Malisa akiwa na uso wa huzuni.
  Dada wa marehemu (wa tatu kushoto) akilia kwa uchungu baada ya msanii wa filamu, Chuchu Hansi (aliyeinamisha kichwa) kuingia na kuangua kilio.
   Wasanii wakongwe wa filamu, Devotha Mbaga na Vanitha wakilia kwa uchungu.
Waombolezaji wakiwa na nyuso za huzuni.
VILIO vimetanda msibani kwa msanii wa filamu za Kibongo, Zuhura Maftah ‘Malisa’ aliyefariki dunia jana akiwa hospitali ya Hindu  Manndal alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na maumivu makali ya kichwa.

Msiba wa msanii huyo upo nyumbani kwa dada yake Mikocheni na mazishi yatafanyika kesho makaburi ya Kinondoni.(Habari/Picha: Gladness Mallya na Hamida Hassan / GPL)

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...