Pombe ya kienyeji ikiandaliwa tayari kupelekwa kwa walaji UTAFITI wa Kituo cha Habari cha Marekani CNN, umebaini kwamba Tanzania ni nchi ya sita barani Afrika kwa watu wake kunywa pombe chafu (mataputapu).
Utafiti
huo wa Machi 23 mwaka huu, ulibaini kwamba Uganda inaongoza kwa kunywa
pombe chafu maarufu kama Luwombo kwa asilimia 14.52 ikifuatiwa na Rwanda
kwa asilimia 6.44.
Kwa
mujibu wa utafiti huo, Tanzania inashika nafasi ya tano kwa kuwa na
asilimia 4.52, ikiwa nyuma ya Burundi yenye asilimia 5.07.
Ivory
Coast imekuwa nyuma ya Tanzania kwa kuwa asilimia 3.55 huku Tanzania
ikiipiku Burkina Faso iliyoambulia asilimia 3.77, kwa wa watu wake
kunywa pombe chafu.








Uchunguzi umebaini kuwa, wake wa waheshimiwa hao walipata
mshtuko mkubwa hivi karibuni kufuatia taarifa ya kukamatwa kwa
machangudoa hao, Esperance Hagenimana (28), Vestina Zaninika (27) na
Ziada Mukamurera (25) huku wawili kati yao wakikutwa na dawa za
kupunguza makali ya Virusi Vya Ukimwi (ARVs).













