Thursday, April 09, 2015

MICHUANO YA KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA

Taifa Stars ya Tanzania
Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF huku Tanzania ikiwa kundi G pamoja na nchi za Nigeria, Misri na Chad.
Makundi ni kama ifuatavyo:

Kundi A: Tunisia, Togo, Liberia, Djibouti.
Kundi B: Congo DRC, Angola, Jamhuri ya Kati, Madagascar.
Kundi C: Mali, Guinea ya Ikweta, Benin, Sudan Kusini.
Kundi D: Burkina Faso, Uganda, Botswana, Comoro.
Kundi E: Zambia, Kenya, Congo Brazzaville, Guinea Bissau.
Kundi F: Cape Verde, Morocco, Libya, Sao Tome.
Kundi H: Ghana, Msumbiji, Rwanda, Mauritius.
Kundi I: Ivory Coast, Sudan, Sierra Leone, Gabon.
Kundi J: Algeria, Ethiopia, Lesotho, Shelisheli.
Kundi K: Senegal, Niger, Namibia, Burundi.
Kundi L. Guinea, Malawi, Zimbabwe, Swaziland.
Kundi M. Cameroon, Afrika ya Kusini, Gambia, Mauritania.

Fainali zake zitafanyika Gabon 2017 na droo imefanyika Misri, makao makuu ya CAF. Tangaza biashara yako hapa kwa bei nafuu zaidi, pia usisahau ku-Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Kwa Kubofya/ Click Neno Jambo Tz.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...