Sunday, December 21, 2014

AFUNGULIWA MASHTAKA KWA KUSABABISHA KIFO CHA PUNDA...!!!

pua 
Mwanaume mmoja nchini Hispania amefunguliwa mashtaka ya kutesa wanyama baada ya kusababisha kifo cha punda aliyemuua wakati akimkalia kwa lengo la kupiga nae picha.
Sabu ya kifo cha punda aliejulikana kwa jila na Platero inasemekana ni uzito uliopitiliza wa mwanaume huyo na kusababisha kumpa maumivu makali mnyama huyo hadi alipopoteza maisha baada ya siku tatu.
dd
Picha hiyo iliwekwa katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 38 akitabasamu huku akipiga picha na mnyama huyo.
Baada ya siku mbili Punda huyo aliyekua akiugulia maumivu alishindwa kusimama na baada ya uchunguzi wa Polisi aligundulika kuvunjika baadhi ya viungo vyake kutokana na kubeba kitu kizito. Asante kwa kutembelea blog hii ya Jambo Tz, ili kuboresha blog yetu tunatoa fulsa ya kutangaza matangazo mbalimbali na pia kutoa maoni yako kupitia namba ya simu (WhatsApp & SMS) 0715 221198, E-mail jambotz8@gmail.com. Merry Chistmass & Happy New Year.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...