Monday, November 24, 2014

ROGDERS AKUBALI LAWAMA KIPIGO CHA LIVERPOOL


Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers 
 
Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amesema anapokea lawama zote kufuatia kipigo cha timu yake ya Liverpool ilichokipata kutoka kwa Cyristal Palace.
Liverpool ambayo msimu uliopita ilishika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi ya England jana ilipata kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 3 -1 kutoka kwa Crystal Palace.
Rodger amesema amekubali kwamba ulikuwa ni wakati mgumu na analazimika kufanya juhudi kubwa ili kutafuta ufumbuzi wa tatizo ndani ya Liverpool.
Amesema wamesikitishwa na kiwango cha timu pamoja na matokeo mabovu na kwamba kama meneja wa ni lazima achukue lawama. Asante kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...