Thursday, August 01, 2013

MWANAUME AJIUA BAADA YA KUMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA NA KISU, KISA NI WIVU WA MAPENZI...!!!


                                 Linah Keza enzi za uhai wake
Jamii ya wauganda huko Uingereza wameaamka na habari za kusikitisha baada ya mwenzao aliyejulikana kwa jina la David Kikaawa kumuua mke wake Linah Keza.

Inasemekana kuwa David alimuua mke wake mida ya alfajiri baada ya kuhisi kuwa mke wake anatembea nje ya ndoa..

David alienda kujificha baada ya kumchoma mke wake na kisu hadi kufa. Baadae nae maiti yake(David) ilikutwa kwenye club 791,inayomilikiwa na kaka yake. Alijiua baada ya kumuua mke wak.

Wawili hao walikua wanaishi  kaskazini mwa London,amebaki mtoto wao wa kike mwenye miaka mitatu 
 
           Kushoto ni David,mtoto wao na Linah
                            

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...