Wednesday, July 10, 2013

MCHUNGAJI AKAMATWA KWA KOSA LA KUUPINGA USHOGA NA USAGAJI.



Tonny Miano ni Mchungaji kutoka nchini mMarekani ambaye alikwenda Nchini Uingereza katika Kufanya Mahubiri Huko. Kilichomkuta kilisababishwa na yeye kusema ya kwamba tabia za kishoga na kisagaji ni Dhambi na hazimvutii Mungu,.


Polisi walipigiwa simu na mwanamke mmoja aliyekuwa eneo la tukio akilalamika ya kwamba hajafurahishwa na maneno anayoongea Tonny, ambaye ni askari mstaafu wa jeshi la polisi nchini Marekani.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...