Wednesday, July 10, 2013

HUYU NDIE MWIGIZAJI WA HOLLYWOOD ALIYEMTUKANA OBAMA NA MKE WAKE

amanda bynes obama ugly tweet

 
 
Anaitwa Amanda Bynes ni mwigizaji maarufu HoolyWood. Wiki chache zilizopita alikua katika vita ya maneno na msanii Rihana kupitia mtandao wa twitter, sasa vita hiyo kaihamishia kwa Raisi wa nchi yake Obama pamoja na mke wake.

Katika tweet aliyoandika jana alisema “Barack Obama and Michelle Obama are Ugly” na mda mchache tu baada ya kuandika hivyo watu walianza kumshambulia kwa kumwambia kua alichofanya si kitu kizuri kabisa. Pia katika kuonyesha kua watu hawamungi mkono wengi wa followers wake walimunfollow.


Hii si mara yake ya kwanza kuwaita watu weusi ugly kwani alishawahi kumuita na Drake jina hilo

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...