Wednesday, July 24, 2013

MBONA MAJANGAAAAA: ALIKIBA NAE ATIWA MBARONI NJE YA NCHI... KISA ........!!!


Meneja wake Guru akiongea na mama yake Ally Kiba nyumbani kwao Kariakoo amesema bwana mdogo alikuwa uwanja wa ndege wa Amsterdam akisubiri ndege za American Airlines ili aelekee jijini Oklahoma City USA akiwa na mwanamama maarufu mwenye mvuto hapa bongo ndipo alipokamatwa.

Haijajulikana sababu za kukamatwa kwake na mpaka leo familia wapo kimya hawajafunguka na wanailinda habari isivuje japo baadhi ya wadau washazinasa. Haijajulikana sababu za kukamatwa ila mpaka kesho media zitatuambia sababu. Sina hakika kama kisa cha kukamatwa bwana Singleboy ni kitu cha Sembe au laaaaa!!! TUSUBIRI


No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...