Monday, April 01, 2013

WANAUME BONGO MOVIE HAWANA MAPENZI YA KWELI: SNURA

MKALI wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi amesema anaogopa kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wasanii wa filamu kwani wengi wao hawana mapenzi ya kweli.
 
Akipiga domo na paparazi wetu, Snura alisema tangu aanze kucheza filamu alijiapiza kuwa kamwe hatajiingiza kwenye mapenzi na waigizaji zaidi ya kushirikiana nao katika kazi ya kuzalisha filamu.
“Mimi siwapendi wanaume wasanii wa filamu, sijawahi kuwa nao labda awe msanii wa Bongo Fleva,” alisema Snura.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...