Tuesday, April 09, 2013

Mshindi wa Tshs 10,000,000 za DStv apatikana.


Masoud Said (38), mkazi wa Mbeya akifurahia kitita cha Tshs 10,000,000 alizozawadiwa na DStv kwenye campaign ya DStv Rewards. Kila wiki, DStv wamekuwa wakitoa Tshs 5,000,000 kwenye droo maalum kwa wateja wake wanaofanya malipo kabla ya akaunti zao kukatika. Kushoto ni Meneja wa Fedha wa kampuni ya MultiChoice Tanzania, Francis Senguji na Meneja Masoko wa kampuni hiyo Furaha Samalu.
Mshindi wa Tshs 10,000,000 za DStv  Masoud Said akiwa ameshikilia mabulungutu ya fedha zake.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...