![]() |
| Baada
ya kipindi kirefu cha kuongea kwa mafumbo dhidi ya wamiliki wa Clouds
FM kuwanyonya wanamuziki akianzia na wimbo wake waJoto Hasira,
mwanamuziki Judith Wambura ameendelea kuishambulia redio hiyo na leo
Jumapili ameamua kufunguka kwa kuwachana live wamiliki wa redio hiyo. Hii ni post yake aliyoipost twitter: Lady JayDee @JideJaydee 1h Naamini kabisa kuwa Mungu sio Ruge wala Kusaga. Atanisimamia kwenye hili #Confidence\ |
Monday, April 22, 2013
LADY JAYDEE AWACHANA TENA CLOUDS..... ANADAI KWAMBA MUNGU SI "RUGE" WALA "KUSAGA"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment