Friday, April 12, 2013

JAY -Z KUNUNUA KISIWA KWA AJILI YA FAMILIA YAKE

Rapa nguli nchini Marekani Jay-Z amefanya kufuru baada ya kutangaza kuwa atanunua kisiwa chake binafsi katika eneo la la Bahamas, kwa ajili ya mapumziko na familia yake.

Vyanzo vya habari vilivyopo karibu na nyota huyo vilieleza juzi kuwa  ametenga pauni milioni mbili ili kununua eneo hilo lililopo kaskazini mwa wilaya ya Abaco kwa ajili ya familia yake.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...