Tuesday, April 16, 2013

ANGALIA RIHANA ALIPOFANYA SHEREHE YA UCHI AKIWA BARBADOS SEHEMU ALIYOZALIWA, AIBU....!!





 

 
Katika hali ya kustaajabisha sana msanii anayemake headline katika muziki wa Kidunia ajulikanaye kama Rihanna, ametinga katika party ijulikanayo kama Annual Kadooment Day celebration huko Barbados sehemu ambayo alizaliwa, katika party hiyo Rihanna aliamua kufanyia sherehe hiyo mtaani huku akiwa uchi kama picha na video inayoonekana.....Tazama picha na video mwenyewe ujionee dunia ilivyoisha

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...