Thursday, March 07, 2013

SNURA ANASWA NA NJEMBA

POZI la staa wa sinema Bongo, Snura Mushi na Dj Ommy Crazy wa Maisha Club kama walivyonaswa na kamera ya Tollywood Newz linatoa ishara kwamba ni wapenzi.
 Fukuafukua za kitaani zinaeleza kuwa wawili hao ni wapenzi lakini Snura anafanya siri ili mpenzi wake huyo asiporwe na wajanja.Snura alipoulizwa uhusiano wake na Dj huyo alisema: “Jamani Ommy ni mtu wangu wa karibu...kama ni suala la picha, napiga na watu wangapi jamani? Kwa nini iwe kwa Ommy tu?”

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...