Monday, March 11, 2013

MAAFISA WA POLISI MBEYA WASIMAMISHWA KAZI KWA UPOTEVU WA DAWA ZA KULEVYA

Sehemu ya mbele ya gari ikiwa imefunguliwa kwa uchunguzi zaidi
Picha chini :Askari polisi akilinda sehemu ya madawa ya kulevya yaliyotolewa kwenye gari hiyo

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zimesema kuwa Waziri wa mambo ya ndani Dr. Emmanuel Nchimbi amewasimamisha kazi badhi ya maofisa wa polisi kwa upotevu wa madawa ya kulevya uliotokea mwaka jana 2012 mkoani Mbeya katika mazingira ya kutatanisha.

Baadhi ya maofisa hao ni kamanda wa kikosi cha upelelezi mkoani Mbeya (RCO) Elis Mwita, naibu RCO Jacob Kiangi na mkuu wa kikosi cha FFU Charles Kinyongo.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...