Monday, February 18, 2013

Benki ya CRDB yawashukuru wakazi wa Njombe kwa kuiwezesha kupata mafanikio makubwa.

Mkuu wa kituo cha Tumaini, Sister Coletha Ponela (kushoto) akifuatana na mkuu wa wilaya ya Njombe, Sarah Dumba pamoja na maofisa wa benki ya CRDB wakielekea ukumbi wa kituo cha Tumaini.
Meneja wa tawi la CRDB Njombe, Alison Andrew akiongea na watoto wa kituo cha Tumaini.
Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba akiongea na watoto wa kituo cha Tumaini.
Watoto wa kituo cha Tumaini wakiimba mbele ya mkuu wa wilaya na wageni kutoka benki ya CRDB.
Maafisa wa Benki ya CRDB wakishusha zawadi walizotoa kwa watoto wa kituo cha Tumaini.
Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba  akikabidhi zawadi.
Wafanyakazi wa benki ya CRDB, mkuu wa wilaya, watoto na walezi katika picha ya pamoja.
Wafanyakazi wa benki ya CRDB katika picha ya pamoja na mlezi wa kituo pamoja na mkuu wa wilaya.
Watoto wakionyesha michezo ya sarakasi.
Mlezi wa kituo sister Coletha akipokea akipokea zawadi ya Tshirt kutoka Benki ya CRDB.
 Baadhi ya wateja wa CRDB Njombe wakiwa katika tafrija na wafanyakazi wa Benki ya CRDB Njombe.
Njombe Jazz Band walikuwepo kuburudisha wageni waalikwa.
Wafanyakazi wa benki ya CRDB Njombe wakionyesha ujuzi mwingine wa kusakata rhumba.
Afisa Mikopo wa Benki ya CRDB Njombe akitoa somo la mikopo.
Wafanyakazi na wageni waalikwa wakiburudika kwa muziki.
Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB Njombe Edward Mwalongo, akitoa ushuhuda wake namna gani amenufaika kibiashara kupitia benki ya CRDB.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...