Monday, February 18, 2013

TASWIRA YA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA LEO


Viongozi wakiwa tayari washawasili
Wananchi wakiwa mkutanoni
Mwenyekiti taifa (CHADEMA) akisalimia wananchi waliojitokeza kwenye mkutano
mwenyekiti Mkoa wa Tanga,Said Salehe Mbweto akizungumza
Kamanda akizungumza kwa hisia kukemea propaganda za udini za CCM
Kamanda wa mkoa wa Manyara akihutubia
Kamanda Basil Lema akihutubia
M/kiti Mbowe jukwaani tayari,tayari anazungumziwa sera ya CHADEMA,mfumo mpya wa utawala (majimbo)
Mwenyekiti Taifa akisisitiza jambo.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...