Monday, July 29, 2013

MAMA AMCHOMWA MWANAE NA MKASI MARA 90 KWA MADAI YAKUMG'ATA ZIWA AKIWA ANANYONYA....!!!

Maskini unyama mwingine hauna hata maana maybe alikuwa amechanganyikiwa
Kweli ukistaajabu ya Musa....
Ni kama miujiza kwa mtoto wa kichina kuwa hai mpaka sasa licha ya kuchomwa chomwa mara 90 na mama yake mzazi huko China kwa madai kuwa alimng’ata ziwa mama yake wakati akinyonyeshwa.
Kwa mujibu wa Daily Mail mtoto huyo Xiao Bao mwenye miezi 8 tu ameshonwa zaidi ya nyuzi 100 ili kuurudisha uso wake katika hali nzuri baada ya shambulizi hilo lililotokea katika jiji la Xuzhou mashariki mwa China.
Bao anaishi na mama yake pamoja na wajomba zake wawili ambao wanajishughulisha na ukusanyaji wa taka kwaajili ya kipato. Mmoja wa wajomba hao ndiye aliyegundua kuwa Bao ameumizwa baada ya kumkuta akiwa amelala kwenye damu iliyotapakaa nyumbani hapo kabla hajamkimbiza hospitali
Mama wa mtoto huyo baadaye alikiri kumchoma choma mwanae na mkasi mara 90 hususan eneo la usoni baada ya mtoto huyo kumng’ata ziwa wakati akimnyonyesha.
Baada ya tukio hilo majirani wa familia hiyo wameiomba serikali imnyang’anye mama huyo wa kichina mtoto kwa sababu za kiusalama, lakini ombi hilo limekataliwa kwa madai kuwa hakuna uthibitisho wowote mpaka sasa kama mwanamke huyo anamatatizo ya akili, lakini wameongeza kuwa hata hivyo mtoto huyo bado ana walezi wengine wawili anaoishi nao (wajomba zake)
Mtoto huyo anaendelea kupata nafuu akiwa hospitali.

Source: Vijimamo

RAIS KIKWETE ATAWAZWA OMUKUMA (CHIFU) WA MISSENYI, AHITIMISHA ZIARA YA KAGERA

  Rais Jakaya Kikwete akitawazwa kuwa Omukama (Chifu) wa Missenyi wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani Kagera. Anayemsimika ni kiongozi wa wazee wa Missenyi, Mzee Ernest Babeiya.
 Kwa heshima kubwa Rais Jakaya Kikwete akivishwa uchifu.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia maelefu ya wananchi wa mkoa wa Kagera waliofurika katika uwanja wa michezo wa Kaitaba kumsikiliza siku ya mwisho ya ziara yake ya siku sita mkoani humo.
 
PICHA NA IKULU

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JULAI 29, 2013

DSC 0428 06f2f
DSC 0429 f6f98

MDC WALALAMIKIA UCHAGUZI ZIMBABWE....!!!

zimbabwe 4a402

 
CHAMA cha waziri mkuu nchini Zimbabwe kimesema kuwa mmoja wa ofisa wake mkuu wa chama hicho amekamatwa baada ya kuwasilisha ushahidi wa udanganyifu mbele ya tume ya uchaguzi nchini humo.
  Morgen Komichi aliifahamisha mamlaka baada ya kugundua makaratasi ya kupiga kura yalikuwa yamewekwa katika kituo cha kupiga kura mjini Harare ambapo maafisa wa jeshi walipiga kura za mapema katika uchaguzi huo. (HM)

Alisema masanduku yote ya kura yaliyokuwa na kura za chama cha Movement For Democratic Change (MDC) yalitupwa.

MDC kinachoongozwa na waziri Mkuu Morgan Tsvangirai, kimekuwa katika serikali ya umoja wa kitaifa na rais Robert Mugabe wa ZANU PF , Umoja ambao umekuwa na mashaka ndani yake.
Uchaguzi nchini Zimbabwe umefanyika mapema Jumatano iliyopita.
Chanzo: bbcswahili

MAZUNGUMZO BADO YANAENDELEA KATI YA VALENCIA NA TOTTENHAM HOTSPURS JUU YA ROBERTO SOLDADO

Roberto Soldado: Move to Spurs still on the cards
Roberto Soldado: Move to Spurs still on the cards

Talks are ongoing between Tottenham and Valencia over the transfer of striker Roberto Soldado, Sky sources understand.

Spurs manager Andre Villas-Boas has made Soldado one of his top targets over the summer but is yet to seal the deal. The La Liga side are understood to be holding out for £25.8m, a fee that would trigger a release clause in the 28-year-old's contract. Valencia coach Miroslav Djukic has already admitted he is resigned to losing Soldado though and Spurs remain favourites to land the coveted striker.

Soldado would become Tottenham's third summer signing if he does make the move to White Hart Lane. Brazilian midfielder Paulinho was the first to arrive after he signed from Corinthians for £17m, while Belgian winger Nacer Chadli arrived from FC Twente for around £7m on 21 July.
SOURCE:SKYSPORTS.COM

MANCHESTER UNITED BOSS DAVID MOYES KEEN TO ADD TO SQUAD

David Moyes: Pondering transfer targets
David Moyes: Pondering transfer targets

Manchester United manager David Moyes remains keen to bolster his squad ahead of the new season - despite being rebuffed in his attempts to sign Cesc Fabregas from Barcelona.

The Red Devils have already had two bids for the Spain midfielder rejected by the Catalans and Moyes is in the dark as to whether the Premier League champions will up their offer or train their targets elsewhere.

The Scot said: "I couldn't tell you if there will be another bid. Obviously we will take stock of it and consider what we are going to do next. "I never at any time said I knew we would get him. I just said we had made offers. "But what we have here is a really good squad of players already. You mustn't forget about the quality that is already here at Manchester United.
"Undoubtedly we are hoping to add to it. I am quite confident we will do, certainly before the window shuts."

United have already missed out on one long-time target from Barcelona over the summer - promising midfielder Thiago Alcantara opted to join European champions Bayern Munich in a 25m euro deal.Source:skysports.com

Sunday, July 28, 2013

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULAI 28, 2013

DSC 0002 7d9bd
DSC 0003 f899b

LULU MICHAEL..... "SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"


MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake. 
Lulu alisema hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.

“Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha yangu na mbali ya kwenda kanisani, pia nasali mwenyewe katika sala zangu.

“Ningependa maisha ya sasa ninayoishi ningeishi siku za nyuma, lakini yote ya Mungu labda maisha yale nisingeyaishi siku za nyuma, ningekuja kuyaishi baadaye,” alisema Lulu.

Katika hatua nyingine, alisema anavutiwa na kazi ya msanii wa bongo fleva, Bernard Paul ’Ben Pol’ ambaye tungo za nyimbo zake zinamkosha kuzisikiliza.

SKENDO KUHUSU KUHUSU NIVA NA WEMA SEPETU KUWA WAPENZI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA NIVA.

Siku za hivi karibuni mwigizaji anayefanya vizuri kwasasa katika filamu nchini Niva Zubery amekuwa akiweka status zikimhusu mwigizaji mwenzake Wema Sepetu na baadhi ya mashabiki wa mastaa hao na wasomaji wa Swahiliworldplanet kutaka kuupata ukweli kama mastaa hao ni wapenzi kwa siri au lah. "nyie swp  hembu muulizeni Niva kama mtu wake kwasasa ni Wema coz status zake ni za kuchombeza kwa bibieee then kama wako close sana siku hizi, maskini kaka wa watu kaoza kwa wema tayariii !" alisema shabiki mmoja wa kike aliyekataa kutajwa jina lake.  Status za Niva zinaonekana kama kuchombeza kitu flani kwa Wema kwa mujibu wa wasomaji walioitonya SWP. Baadhi ya status hizo za Niva katika facebook yake ni hizi hapa "Baaabaa eti wewe upo na wemaa? (Apana mwanangu) huku akiwa ameweka picha yake mwenyewe na ya mtoto anayedaiwa kuwa wake", nyingine iko hivi "Niva hanipokerei cm jamaani mwambieni basi kama nampigiaa mwambieeni nawaomba tafazalii" huku akiwa amepost picha ya Wema Sepetu akiwa ameweka simu sikioni".
Status nyingine akiwa ameweka picha hiyo hapo chini wakiwa pamoja na Wema ilisomeka hivi "Etiiiiiii kama tunamuaa kuwa nanihiii na nanihiii itakuwa poa? basi nipe maoni yako ili nijue simmeshajua nilicho maanisha so nataka jibu ili nijue". Baadhi ya wachangiaji walimwambia Niva kuwa wakiwa wapenzi yeye na Wema watapendeza huku wengine wakimwambia kuwa Wema sio hadhi  yake, wengine walimwambia ajaribu bahati yake kama tayari ameshamzimikia mrembo huyo. Ili kuupata ukweli kutoka kwa Niva mwenyewe kama baadhi ya wasomaji walivyotutumia ujumbe mwanzoni ilibidi kumtafuta Niva jana na kumueleza kila kitu na yeye alikataa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Wema na alipoulizwa kama kweli sio wapenzi status zake zikionekana kwa mtu wa Wema si zinaweza kuzua tafrani? Niva alijibu kwa ufupi kwa kusema "hakuna kitu kama hicho kaka"
                                                             Niva na Wema

GADNA AFUNGUA MILANGO KWA WASANII


MTANGAZAJI aliyejizolea umaarufu kupitia kipindi chake cha Maskani kinachorushwa katika kituo cha redio Times, Gadna G. Habashi ameweka mikakati ya kutoa nafasi ya kucheza muziki wa kizazi kipya ndani ya kipindi hicho bila ya kuchagua.

Gadna ambaye anaamini kuwa kipindi cha redio kinapendezeshwa kwa kupiga muziki, hivyo kwa upande wake anaamini kipindi chake kinaboreshwa na muziki hususani wa bongo fleva.


Mtangazaji huyo aliweka wazi juu ya mikakati hiyo alipozungumza na mwandishi wa habari hizi, ambapo alisema njia hiyo ni moja ya mikakati yake ya kutoa fursa kwa wanamuziki wa hapa nchini, ambayo inaonekana wengine wanakosa kwenye redio nyingine.


"Unajua mimi nisipopiga muziki kipindi hakipendezi, hivyo nikipiga muziki huo kwanza ni njia ya kuutangaza muziki pamoja na msanii mwenyewe bila ya kubagua muziki huu ni wa nani?" alisema Gadna.


Alisema kwenye kipindi chake hachagui ni mwanamuziki gani apige nyimbo zake, bali anachokifanya ni kuangalia jamii inahitaji burudani ya aina gani.


Gadna ni mtangazaji anayeamini kuwa neno la kutoa fursa linaendana na vitendo, hivyo moja ya kitendo anachokiamini kinachowasaidia wasanii nyumbani ni kupiga nyimbo zao kwenye redio, ili kumuwezesha msanii afahamike na aweze kupata shoo.

Saturday, July 27, 2013

WATANZANIA WENGINE WAWILI WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HONG KONG....!!!



Watanzania wawili wamekamatwa na madawa ya kulevya yenye thaman ya Dola za marekani million 3.34.

Mtu mmoja jana alisema sasa hivi wasafiri watokao Tanzania wanakaguliwa kwa makini zaidi ya ilivyokuwa hapo awali kutokana na matukio ya kukamatwa na dawa za kulevya! Hii ni sifa mbaya mno kwa raia na Taifa zima!

Iliyopachikwa hapo chini ni taarifa kutoka kwenye tovuti ya Serikali ya Hong Kong ya Julai 26, 2013




Hong Kong Customs yesterday (July 25) detected three drug trafficking cases, with seizures totally valued at $4.78 million, in the department's escalated anti-narcotics efforts to combat drugs.

BAADA YA NEY WA MITEGO, KALA JEREMIAH NAYE ATANGAZA NIA YAKE YA KUMPIGIA KAMPENI LOWASSA....!!!




Msanii wa Hip Hop na mshindi wa tuzo 3 za KTMA 2013, Kala Jeremiah amefunguka kwa kuandika waraka mrefu kuelezea jinsi anavyomkubali waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa kwamba anafaa kuiongoza nchini.

Usome waraka wake huo wote;
Mimi Kala Jeremiah nilikuwa msanii wa kwanza Tanzania kumsema mheshimiwa Edward Lowassa kupitia wimbo wangu uitwao wimbo wa taifa baada ya mheshimiwa kukumbwa na kashfa ya ufisadi wa Richmond.

Kwa kipindi kile kila mmoja wetu alihamaki sana na kuona kweli mzee wa watu ni fisadi.Kwenye wimbo huo kuna mistari nilisema, ‘mi siyo mwana siasa sisubiri tume ichunguze nistaafu ka Lowassa.

Kwa kuwa mimi ni mzuri sana kwenye kufanya uchunguzi binafsi nilitumia muda mwingi sana kulichunguza swala hili la kashfa hii na baadae niligundua kuwa ni swala la kisiasa, na yalikuwa ni mapito ambayo mwanadamu yoyote hupewa muda wa kupitia magumu ili kupimwa imani yake kwa Mungu.

Baada ya kugundua hayo mwaka jana nilitengeneza wimbo unaoitwa ‘Azimio la Arusha’ ambao upo kwenye album yangu ya Pasaka ambayo iko sokoni tokea mwaka jana.

RAY C ATANGAZA KURUDI KWENYE GAME KWA KISHINDO.... APANIA KUFANYA MAMBO MAKUBWA AGOSTI MWAKA HUU...!!!



Mabibi na mabwana mko tayari kwa ujio mwingine wa Ray- C. Malkia wa kiuno bila mfupa Rehema Chalamila aka Ray-C ametangaza ujio wake rasmi baada ya kuwa chimbo kwa kipindi kirefu toka apate matatizo miezi kadhaa iliyopita.

Ni baada ya siku chache kupita toka Ray-C atamke kuwa anapenda sauti ya ‘dogo lake’ Recho na kuwa atakuja kufanya naye kazi, leo amethibitisha kuwa mwezi Agosti ndio anarudi rasmi kutoka chimboni.
Kupitia akaunti ya Instagram Ray-C aliweka picha ya gazeti moja lililoandika ‘Ray-C kuonekana hadharani mwezi Agosti’, na baada ya followers wake kutaka ufafanuzi ndipo alifunguka kwa kusema “For Sure it’s bout time nw nimewapa muda sana watoto sasa mdada is coming back”.

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULAI 27, 2013

DSC 0258 fb197
DSC 0259 4d7d9

AZAM TV YALIPA BILLIONI 6.5 ILI KUONYESHA MECHI ZA LIGI KUU YA TANZANIA BARA

 
Badhi ya viongozi wa TFF wakisaini mikataba na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Azam, Said Mohammed (wa kwanza kulia) leo kwenye Ofisi za TFF zilizopo Karume jijini Dar es Salaam.
Televisheni ya Azam inayojulikana kama Azam TV imeingia mkataba wa miaka mitatu wa kuonesha michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ambapo mkataba huo umetajwa kuwa na thamani ya Tsh bilioni 6.5
 
Aidha Televisheni hiyo itakuwa na majukumu ya kuonesha mechi za moja kwa moja (LIVE) zisizopungua 60 za Ligi hiyo huku nyingine 180 zikiwa zimerekodiwa.
SOURCE: GLOBAL PUBLISHER

WAZIRI MKUU WA ZAMANI ATAKIWA KURUDISHA MAGARI YA SERIKALI MARA MOJA...!!!



Former Prime Minister Raila Odinga. Through the spokesman Muthui Kariuki, the government also accused the former premier of putting a siren on one of the cars and using it to manoeuvre through traffic in the city.

In Summary


  • The spokesman was, however, dismissed last evening by Cord deputy minority leader Jakoyo Midiwo, who said two former presidents who had the same status as the former PM, had not returned anything to the government.
The government Thursday accused former Prime Minister Raila Odinga of failing to return six government vehicles in his possession almost four months after leaving office.

Through the spokesman Muthui Kariuki, the government also accused the former premier of putting a siren on one of the cars and using it to manoeuvre through traffic in the city.

“He is forever mourning that the government is not giving him recognition, yet he has refused to return six government vehicles and has gone on and bought an illegal siren and is forever driving all over town using the wrong lanes,” the spokesman said yesterday.

STARS WAKIWA MAZOEZI KUPAMBANA NA CRANE LEO




 Wachezaji mbalimbali wa Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Satrs' ambao wanasakata kabumbu ndani ya nchi wakijifua katika Uwanja wa Taifa wa Mandela uliopo Nambole nchini Uganda. Stars ipo nchini Uganda na leo inataraji kushuka katika dimba la uwanja huo kumenyana vikalina The Crenes ya Uganda kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa Ndani CHAN.

Moja ya mikakati ya Taifa Stars kwenye mechi ya leo (Julai 27 mwaka huu) dhidi ya Uganda kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Tatu za Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) zitakazofanyika mwakani nchini Afrika Kusini ni kushambulia kwa muda mwingi wa mchezo.

POLISI AZUA BALAA MKUTANO WA CHADEMA NUSURA APIGWE

Na Bryceson Mathias, Kikombo
ASKARI Polisi wa Kata ya Kikombo  aliyejulikana kwa jina Moja la Sivanus (pichani), Jana alizua Tafrani kwenye Mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Kumnyanganya Kipaza Sauti (Mike) Katibu wa Wilaya wa Dodoma Mjini, Jella Mambo.
Silvanus alizua hayo Julai 26, ambapo alinusurika Kipigo cha Wananchi  waliokuwa na hasira kwa kufanya tukio hilo, ambapo walidai hata kungekuwa na makosa ya Matamko au kitu kingine chaochote, hakustahili kuingia jukwani na kumnyang’anya Kipaza sauti Katibu huyo.
Askari Silvanus aliyeonekana kulewa na kuwaacha wenzie kwenye gari, alichukuwa hatua hiyo, Mambo alipomtambulisha aliyekuwa Mgombea wa Chadema Kata hiyo, Yona Kusaja, kwamba, uchaguzi uliopita Kusaja hakushindwa ila Chama Tawala (CCM) kilichakachua kura zake na kutoa vitisho kwa wapiga kura.

Friday, July 26, 2013

HUYU NDO MSANII ALIYETANGAZA KUMPORA MUME WA AUNT EZEKIEL... !!!

KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii anayechipukia katika filamu za Kibongo, Isabella Fransis ‘Vai wa Ukweli’ anamtafuta ubaya gwiji katika tasnia hiyo, Aunt Ezekiel kwa kusema anamtamani mumewe.

Vai wa Ukweli bila ya kupindisha maneno amedai kuwa hapati usingizi kutokana na kumzimia Sunday Demonte ambaye ni mume wa Aunt.


Akizungumza na mwandishi wetu, Vai alisema ili kuonesha kuwa anachokisema kinatoka moyoni mwake, amekata vipande vya picha za Dimonte na kuvibandika chumbani kwake.

 “Kusema ukweli nampenda sana Sunday na sijaanza kumpenda leo wala jana kwani namfahamu tangu zamani alipokuwa Kariakoo,” alisema Vai.

Msanii huyo chipukizi alisema anamuonea wivu Aunt kwa kuamini kuwa anafaidi sana kwa kuwa na mwanaume huyo.
 

Kwa upande wake Aunt alishangazwa na taarifa hizo na akaomba atafutwe baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili ajue cha kufanya.

FABREGAS AFUNGUKA, ATAMANI KUJIUNGA NA MOYES, VAN PERSIE OLD TRAFFORD


Uncertain future: Cesc Fabregas could leave Barcelona for Manchester United 
Haijulikani hatima yake: Cesc Fabregas  anaweza kujiunga na Manchester United
Lakini ukweli ni kwamba  Fabregas amewaambia maswahiba wake wa England kuwa anataka kuondoka Camp Nou, na hii inawapa moyo zaidi kumnasa.

Inafahamika kuwa Fabregas amevutiwa na ahadi nzuri ya kucheza muda wote katika kikosi cha United na anapenda kujiunga na nyota mwenzake wa zamani wa Asernal, “Hakunaga” Robin Van Persie ambaye kwa sasa ndio roho ya ushambuliaji ya pale Old Trafford.

MZEE SMALL ANAENDELEA VIZURI KIASI,LAKINI BADO ANAHITAJI MSAADA WETU WADAU


Taarifa ya Mrejesho : Hali ya Msanii nguli wa maigizo hapa nchini Tanzania, Ndg
Said Bin Wangamba almaarufu kama Mzee Small inaendelea vizuri, na
ANASHUKURU sana kwa wale wote wanaomkumbuka katika kipindi hiki kigumu
cha maradhi. Kwa sasa anaweza kujikongoja taratibu mwenyewe.,

Anaendelea na mazoezi ya kila siku, na kubwa ni dozi ya dawa kwa ajili  ya kumsaidia kuondoa uvimbe uliogundulika miezi kadhaa iliyopita,  kichwani mwake ambapo dozi moja tu inagharimu takribani 30,000TZS pamoja
na mahitaji mengine ya lazima ya kila siku,
 Kwa yeyote atakaeguswa  tafadhali unaweza kuwasiliana na Mzee wetu kupitia, M-PESA kwa kutumia  namba ya Said Ngamba (Mzee Small) 0754647265 na TIGO PESA kwa kutumia  namba ya mkewe 0658111311,

Changamoto: Ni Wakati MUAFAKA Sanaa kuwa Ajira Rasmi na yenye MAPATO STAHIKI, Alituchekesha na kutuondolea uchovu kwa kipaji chake, nasi tumkumbuke na kumuenzi,
 
Matukio-Amani OleAfrika Aranyande M Chuma

MAJANGA MADANGURO YA MAKAHABA YAZIDI KUFUMULIWA....!!!


 
 Hili ni sakata la  kikongwe mmoja anayedaiwa kumiliki idadi kubwa ya madanguro katika uwanja wake na kuwapangisha makahaba katika eneo maarufu kwa jina la Kijiji cha Makahaba.
Mwandishi wetu alipokea ujumbe mfupi ulioelezea ufuska unaofanywa na mabinti ambao hupewa eneo na kujenga vibanda kisha kujiuza kwa bei chee katika kijiji hicho maeneo ya Kigamboni jijini Dar.


Bada ya simu hiyo, uchunguzi wetu  ulibaini kwamba, eneo hilo linalofanyiwa ufuska huo linamilikiwa na kikongwe aliyejitambulisha kwa jina la mzee Matutu akidaiwa kuendesha maisha kwa biashara hiyo ya madanguro.
 
Baada ya kujiridhisha na uchunguzi kuwa ni kweli jambo hilo linafanyika eneo hilo,waandishi walivamia eneo la tukio wakiwa na mjumbe wa mtaa huo aliyefahamika kwa jina la Abbas na kujionea madanguro yaliyojengwa kwa mstari ambapo milango yake iliachwa wazi huku ndani wakionekana mabinti wakiwa wamejilaza kihasarahasara wakiwatega wateja wanaopita katika mtaa huo.

MAAJABU: BINTI ALIYEZALIWA BILA MACHO WALA PUA ATAKIWA KUTOA UBAVU WAKE ILI AFANYIWE UPASUAJI...!!!

Msichana Brave Cassidy Hooper (17) kutoka Charlotte, Kaskazini mwa Carolina Marekani aliyezaliwa bila pua wala macho anategemea kufanyiwa upasuaji mkubwa wa kurekebisha uso wake.

u-4
Brave anategemewa kufanyiwa upasuaji huo (July 31) mwaka huu ambapo inategemewa sehemu ya mfupa utaondolewa katika ubavu wake kwaajili ya kutumika kutengeneza paji la uso wake, mfupa huo utasaidia kama kiunganishi cha pua mpya atakayowekewa.

IRENE UWOYA AREJEA NCHINI KUTOKA KWA MSWATI - AMEAIDIWA MAMBO MAKUBWA

 
Mwigizaji Irene Uwoya amerejea nchini toka nchini Swaziland alipokuwa kwa takribani wiki tatu.
Irene Uwoya aliyerejea nchini leo hii amerejea na salamu toka nchini Swaziland alizoziandika kupitia ukrasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii alisema…
 
“Mswat anawasalinmu sana! Nahiv karibun atatinga hapa nakanipa kibali chakufanyya move na ful suport...I wl prove u wrong...try me”
 
Akimaanisha, amerejea nchini na Mswati amnawasalimia sana na amesema atakuja nchini hivi karibuni na amenipa kibali cha kufanya Filamu na atanisaidia kwa kila kitu. Nijaribu nitakuthibitishia kuwa umekosea (Kwa Kiswahili fasaha).
 
Bado tunamtafuta Irene amabye namba yake ya simu haipatikani kujua kama kauli hii ni ya kweli au anawatania tuu mashabiki wake.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA JULAI 26, 2013


DSC 0095 1cb01
DSC 0096 51ada

Thursday, July 25, 2013

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JUALI 25, 2013

DSC 0069 7123d
DSC 0070 eba91

ALEX SONG SAYS CESC FABREGAS "WILL NOT BE LEAVING BARCELONA"

Alex Song: With Cesc Fabregas at Barcelona last season
Alex Song: With Cesc Fabregas at Barcelona last season

Alex Song is convinced Cesc Fabregas will still be a Barcelona player at the start of the new season.

Song, the former Arsenal midfielder who spent six years at the Emirates before moving to Spain in 2012, says his team-mate has no intention of quitting Camp Nou. Fabregas, also a former Gunner, has been the subject of two bids from Manchester United already this summer, and David Moyes said this week he will give the transfer "every opportunity to materialise".

But after featuring in Barca's friendly defeat at Bayern Munich Song told Sky Sports News he is "100%" sure Fabregas is going nowhere. He said: "I did not speak with him but I know Cesc is 100 per cent here. "He loves Barcelona, he loves the club. He will stay here next season and give 100 per cent because I know him very well and he'll want to fight. He's focused on the club.
"He wants just to give his best for Barcelona. He's from Barcelona, he loves Barcelona and he'll want to start the season to show what he can do.

"People are talking and talking, but we know he is focused here and ready to start the season."He's enjoying a holiday with his family and I'm sure he wants just to come back here. "It's my own opinion but I know he will stay here, 100 per cent."

MAAJABU:- MTOTO WA MWAKA MMOJA APATA UJAUZITO...!!!


Madaktari wa nchini China walishangazwa kuona mtoto wa mwaka mmoja ana ujauzito.
Mtoto Kang Mengru wa nchini China alipelekwa hospitali baada ya wazazi wake kushtushwa na hali ya tumbo lake kuzidi kuwa kubwa siku hadi siku.

Baada ya mtoto huyo kufanyiwa ultrasound, madaktari waligundua kuwa mtoto huyo wa kike alikuwa amebeba kitoto kichanga kwenye tumbo lake ambacho kilikuwa kikiendelea kukua.
Madaktari wanaamini kuwa mama wa mtoto huyo alikuwa na mimba ya watoto wawili mapacha na pacha mmoja alijitokeza ndani ya tumbo la pacha mwenzake.


Hali kama hiyo ya kichanga kuzaliwa ndani ya kichanga kingine ni nadra sana kutokea na humtokea mwanamke mmoja katika wanawake 500,000.

Mtoto Kang atafanyiwa upasuaji kukiondoa kichanga hicho tumboni mwake.

WEMA SEPETU AENDELEZA WEMA WAKE SAFARI HII AMGEUKIA RAY C



Wema Sepetu katika pozi


RIHANNA KAMA KAWAIDA, ANGALIA KIVAZI CHAKE VITU NJE NJE....!!!

 




Wednesday, July 24, 2013

HATIMAE KITUKUU CHA MALKIA ELIZABETH CHAPEWA JINA....!!!


Prince William akiwa na familia yake saa24 baada ya mtoto George Alexander Louis kuzaliwa.

Prince William akiwa na familia yake saa24 baada ya mtoto George Alexander Louis kuzaliwa.
Prince William alipokuwa amezaliwa akiwa amebebwa na baba yake Prince Charles na mama yake Princess Diana mwaka 1982.

Prince William alipokuwa amezaliwa akiwa amebebwa na baba yake Prince Charles na mama yake Princess Diana mwaka 1982.

RAIS KIKWETE AWASILI BUKOBA, AKUTANA NA TAIFA STARS MWANZA, AWATAKIA USHINDI DHIDI YA UGANDA








 Jakaya Mrisho Kikwete akifungua jengo la Kagera Coperative Union leo Julai 24, 2013
mjini Bukoba.


 Picha ya Pamoja

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...