
Shilole akiwa na Madee.
Kwanza paparazi wetu alimfotoa Shilole picha kadhaa akiwa anafungwa zipu na Madee.
...Akiwa na Ommy Dimpoz.

![]() |





MKAGUZI
na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema
taarifa ya Sh bilioni 252 zilizokuwa zimeoneshwa katika taarifa ya
Wizara ya Ujenzi, zilihamishwa kwenda Wakala wa Barabara (Tanroads)
kulipia madeni ya wakandarasi na kwamba hapakuwa na ufisadi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),
William Lukuvi amesema baadhi ya majina ya wabunge yametajwa miongoni
mwa watu wanaoshukiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya lakini
Serikali haiwezi kuwataja hadharani kwa haraka.

