![]() |
| Ms Loveness Diva |
![]() |
| Mwanachama halali wa CHADEMA |


SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu
(FIFA) ambalo lilisimamisha mchakato wa uchaguzi wa Shirikisho la Mpira
wa Miguu Tanzania (TFF) kutokana na baadhi ya wagombea kulalamika
kuenguliwa sasa litatuma ujumbe wake nchini katikati ya mwezi ujao.


Amiri Jeshi Mkuu,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi cheti
cha kuhitimu mafunzo ya muda mfupi kwa viongozi mbunge wa viti maalum
Ester Bulaya leo katika kambi ya RUVU JKT.Rais Kikwete amefunga rasmi
mafunzi hayo leo yaliyofanyika kwa wiki tatu.(Picha na Freddy
Maro)
Mwakilishi
wa Wabunge waliomaliza mafunzo maalumu ya muda mfupi ya Jeshi la
Kujenga Taifa(JKT)katika kambi ya RUVU Ester Bulaya akikabidhi risala
kwa niaba ya wenzake kwa Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
leo mchana.
Wabunge
waliomaliza mafunzo ya muda mfupi ya Jeshi la kujenga Taifa wakipita
kwa ukakamavu mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mris
Wabunge
waliomaliza mafunzo ya muda mfupi ya Jeshi la kujenga Taifa wakipita
kwa ukakamavu mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho kikwete
wakati wa gwaride maalumu la kumaliza mafunzo hayo huko kambi ya RUVU
leo.
Wabunge
walihudhuria mafunzo ya muda mfupi Ruvu JKT wakionesha walijifunza kwa
![]() |
| Of course Steven Kanumba had so much fans
kwenye hii tasnia ya filamu za
Bongo and he could defenetely take ‘Bongomovie’ somewhere far na ndio
maana anakumbukwa kutokana na ku-inspire wengi. Taarifa zisizokuwa rasmi kitaani kwasasa ni kwamba kwenye maazimisho ya mwaka mmoja wa kifo cha the late steven kanumba mwaka huu huenda ikatengezwa sanamu yenye sura yake na kuwekwa kwenye mji wa kihistoria wa bagamoyo Mkoani Pwani. Muigizaji Stevene Kanumba alifariki mwezi April mwaka jana 2012 nyumbani kwake Sinza Vatkan dar es salaam akiwa na umri wa miaka 28 baada ya majibizano na mpenzi wake Elizabeth Michael ‘lulu’ ambae pia ni muigizaji. |