Wednesday, March 27, 2013

ROSE NDAUKA: KAJALA AJIPANGE KUTIMIZA NDOTO ZAKE


Habari na saluti5
NYOTA wa filamu, Rose Ndauka amemzungumzia msanii mwenzie wa filamu, Kajala Masanja aliyeponea chupuchupu kwenda jela miaka mitano na kusema kuwa, anachoamini ni kwamba sasa Kajala atajipanga na kuyafanya maisha yake yaende kama alivyokusudia hatimaye kutimiza ndoto zake.Saluti5 ilizungumza na Rose ili kupata maoni yake juu ya kuachiwa huru kwa Kajala aliyekuwa jela kwa muda mrefu, ambapo alisema kuwa kikubwa ni kushukuru mungu kwa kuweza kwake kurudi tena uraini, lakini pia sasa ni wakati wa kuzijenga upya ndoto zake.
“Binafsi, siwezi kujua kwa sasa Kajala mwenyewe amepanga kitu gani juu ya maisha yake, lakini ninaamini atafanya yale anayayowaza katika akili yake, hususan kuhusiana na kuendeleza mipango yake ya kimaisha,” alisema Rose.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...