Tuesday, March 26, 2013

SANAMU YA KANUMBA KUWEKWA BAGAMOYO, SOMA STORY HAPA

Steven-Kanumba
Of course Steven Kanumba had so much fans kwenye hii tasnia ya filamu za Bongo and he could defenetely take ‘Bongomovie’ somewhere far na ndio maana anakumbukwa kutokana na ku-inspire wengi.
Taarifa zisizokuwa rasmi kitaani kwasasa ni kwamba kwenye maazimisho ya mwaka mmoja wa kifo cha the late steven kanumba mwaka huu huenda ikatengezwa sanamu yenye sura yake na kuwekwa kwenye mji wa kihistoria wa bagamoyo Mkoani Pwani.

Muigizaji Stevene Kanumba alifariki mwezi April mwaka jana 2012 nyumbani kwake Sinza Vatkan dar es salaam akiwa na umri wa miaka 28 baada ya majibizano na mpenzi wake Elizabeth Michael ‘lulu’ ambae pia ni muigizaji.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...