Viongozi wa mataiifa ya magharibi wanaohudhuria mkutano wa mataifa
tajiri, G-20 mjini Brisbane, Australia, wameionya Urusi ifuate
makubaliano ya kusitisha mapigano Ukraine, ama sivyo itakabili vikwazo
zaidi.
Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron, alimwambia Rais
Putin kuwa uhusiano baina ya Ulaya na Urusi utabadilika iwapo wanajeshi
wa Urusi watabaki Ukraine.Rais Obama alisema hatua za Urusi zinachusha.
Urusi inakanusha kuwa ina wanajeshi wake ndani ya Ukraine.
Msemaji wa Bwana Putin alitoa maanani ripoti kuwa kiongozi wa Urusi anapanga kuondoka mapema kwenye mkutano. Asante kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz












Mkurugenzi Mstaafu waTaasisi ya Utafiti ya Twaweza, Rakesh Rajan (kulia)
akiwaelezea jambo Mwenyekiti wa Bodi ya Uhariri ya Raia Mwema, Jenerali
Ulimwengu (kushoto) na Mkurugenzi wa Compass Communication Limited,
Maria Sarungi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa kabla ya taasisi hiyo
kutangaza matoke ya utafiti wao kuhusu Tanzania Kuelekea 2015, jijini
Dar es Salaam juzi.








