MKOJO UKIWA UMEKINGWA.
Mkojo kama huo ambao mwanaume huyu anajisaidia kwa kificho, kinyume cha sheria hadharani ni bidhaa ambayo inaweza kusaidia jamii kwa sasa. Na mpigapicha wetu
JOHANNESBURG, AFRIKA YA KUSINI.
JIULIZE , je, umeenda haja ndogo leo asubuhi au la?
Kama jibu ni ndiyo, basi ujue umemwaga kiasi
kikubwa cha nishati ambacho pengine kingeweza kuok
oa kiasi cha fedha za
kulipia bili ya umeme nyumbani kwako. Pia, mkojo una manufaa zaidi
kwako ambayo huenda hukuyajua.
Wanayansi na watafiti nchini Uingereza wamevumbua
nguvu za mkojo katika kuzalisha nishati ambayo inaweza kuchaji simu kwa
muda wa dakika 25 na pia kumwezesha mteja kutuma ujumbe na kuperuzi
intaneti.




Afisa
Habari wa timu ya Yanga SC, Baraka Kizuguto akiongea na wanahabari leo
katika Ukumbi wa Makao Makuu ya klabu hiyo, Jangwani jijini Dar es
Salaam.
Mweka Hazina kutoka DRFA, Ally Hassan, akifafanua jambo juu ya maandalizi ya mechi hiyo.
Baadhi ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua matukio kwenye kikao hicho.













