![]() |
| Singo Kigaila. |
Huku
kukiwa na madai kuwa Chadema inahusika na matukio ya kula njama za
utekaji na kuteka, kupiga na kuua watu, chama hicho kimekuja juu na
kukanusha madai hayo.
Pamoja
na kukanusha, kimemwomba Rais Jakaya Kikwete aunde tume huru ya
kimahakama kuchunguza matukio yaliyotokea ili hatua za kisheria
zichukuliwe dhidi ya wote watakaobainika kuhusika.
Akizungumza
na Waandishi wa Habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Mafunzo na
Oganaizesheni wa chama hicho, Singo Kigaila, alisema walishamwomba Rais
aunde Tume lakini akadai ombi hilo halijatekelezwa hadi sasa.















Sina budi kumshukuru
sana mwenyenzi Mungu kwa kunitendea mema na zaidi ya yote kunipa uhai na
afya hadi sasa. Wanasema “shukuruni katika yote” na mimi nalazimika
kushukuru kwa yale yote niliyofunuliwa na kuwa sehemu ya ushuhuda wangu
katika maisha niliyobakiza hapa duniani.




