
Binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Khadija Idd anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro akidaiwa kumtupa barabarani mtoto wake mwenye umri wa miezi 6 baada ya mwanaume aliyezaa naye kumkataa.
Shuhuda wetu ambaye ni dereva wa bodaboda aliyefahamika kwa jina la Shabani, alisema tukio hilo lilitokea Juni 11, mwaka huu maeneo ya Mafiga karibu na Msikiti wa Mahita ambapo Khadija alichukua uamuzi huo baada ya mwanaume aliyezaa naye kumgomea mtoto kwa madai ana nywele za Kiarabu hivyo si wake.
“Huyu dada alifika kwenye kijiwe chetu akiwa amembeba mtoto mgongoni na kukodi pikipiki ili nimpeleke mjini.
“Tulipofika kwenye msitu uliopo karibu na mashamba ya SUA, aliniambia niendeshe spidi kuna mtu anamuwahi.
Nilitii amri lakini tulipofika mbele kidogo nikashangaa anamtupa yule mtoto.









Sina budi kumshukuru
sana mwenyenzi Mungu kwa kunitendea mema na zaidi ya yote kunipa uhai na
afya hadi sasa. Wanasema “shukuruni katika yote” na mimi nalazimika
kushukuru kwa yale yote niliyofunuliwa na kuwa sehemu ya ushuhuda wangu
katika maisha niliyobakiza hapa duniani.










