
Mmoja
wa washabiki wa muziki wa kizazi kipya ambaye alivaa vazi lililoacha matako nje....
Shabiki huyo alipanda jukwaani kumkumbatia
msanii maarufu nchini , Ommy Dimpoz wakati alipokuwa akitoa burudani
katika mashindano ya Redds Miss Tabora.
Tukio hilo la aibu lilitokea mbele ya wabunge....


Mbunge
wa Jimbo la Sengerema Bw.William Ngereja akiwa na Diwani wa kata ya
Kitete manispaa ya Tabora Bw.Daniel Mhina ambaye alikuwa MC katika
onesho hilo lililofanyika katika ukumbi wa Frankman Hotel mjini Tabora.









Kutokana
na kifo cha msanii Albert Mangwea ambaye amefariki nchini Afrika ya
Kusini ambako alikwenda kufanya maonyesho, wasanii mbalimbali
wamezungumzia kifo chake.



