VIGOGO
wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwemo wabunge, wamemjia juu Mkuu wa
Mkoa (RC) wa Arusha, Magessa Mulongo kwa jinsi alivyoshughulikia kesi ya
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA).
Wabunge
hao waliliambia gazeti hili mjini Dodoma kuwa kesi ya uchochezi
iliyofunguliwa na serikali dhidi ya Lema kwa shinikizo la mkuu huyo,
itaiathiri kwa kiasi kikubwa CCM.
Mbunge
wa Mwibara, Kangi Lugola alisema kuwa amefuatilia kwa makini chanzo
cha kesi ya Lema na hatimaye kukamatwa na polisi mithili ya gaidi, na
kubaini kuwa hulka
za utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wa serikali zinawapa sifa na umaarufu zaidi CHADEMA.
“Mimi
sitaki kuingilia kesi, lakini ukiangalia kuanzia ile inayoitwa video
ya vurugu za Chuo cha Uhasibu Arusha na jinsi Mkuu wa Mkoa alivyofika
eneo la tukio na kuondoka, utabaini udhaifu mkubwa wa kiongozi huyo
ambao leo unamfanya Lema aonekane shujaa.
“Leo
tunaingia kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani pale Arusha, tunaweza
tukashinda, lakini tutafanya kazi ya ziada kwa sababu tu ya udhaifu wa
Mkuu wa Mkoa wa Arusha,” alisema Lugola.



Mojawapo ya ofisi za Kampuni ya Kanumba The Great Films illiyopo Sinza Mori.
Marehemu Steven Kanumba akiwa na tuzo za filamu enzi za uhai wake.





Naked
model on a train in Germany Wake-up call ... but some passengers on the
train still managed to stay asleep TNI Press But remarkably, some of
them gave barely a sideways glance as she walked through the carriage in
the buff. The model’s naked journey was part of a project put together
by Swiss artist Milo Moire. Entitled The Script System, the stunt was
intended as a way of "shaking up the ordinary". Swiss artist dreamed up
scheme to have naked model take a train ride in Germany Stunt ...


Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia. 
