Thursday, May 25, 2017

ZARI WA DIAMOND ATHIBITISHA KIFO CHA MUMEWE WA ZAMANI

Zarinah Hassan ‘ZariTheBossLady’ amethibitisha taarifa za kifo cha aliyekuwa mpenzi na baba wa watoto wake watatu, Ivan Semwanga.

Zari ametoa taarifa hzo kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram kwa kuandika,” God loves those that are special and that’s exactly who you were & I guess that’s why he wanted you to himself. You have touched and helped thousands, you did wonders and I remember you telling me “life is too short let me live it to the fullest”, this very dark hour it makes sense why you always said those words to me. To your sons, you were a hero-some kind of superman. Anyone who has ever been in your presence knows what a charming person you were. You will be missed and remembered in so many ways. You were IVAN THE GREAT! Rest in peace DON”

Kwa Kiswahili, “Mungu anawapenda wale walio muhimu na hakika ndivyo ilivyokuwa kwako, nadhani hiyo ndiyo sababu ya yeye kukuhitaji kwake. Umewagusa na kuwasaidia maelfu, ulifanya maajabu na ninakumbuka ulinambia ”maisha ni mafupi sana acha niishi kwa ukamilifu”, muda huu wenye giza ndiyo inaleta maana kwanini ulisema maneno hayo kwangu. Kwa watoto wako ulikuwa shujaa. Kila mtu aliyekuwepo sehemu ulipokuwa alijua kwa kiasi gani wewe ni mcheshi. Nitakukumbuka kwa namna nyingi. Ulikuwa IVAN THE GREAT. Pumzika kwa amani DON”

Kabla ya taarifa hiyo kulikuwa na taarifa nyingi zikisema kuwa Iavn amefariki lakini Zari alikuwa akikanusha, na taarifa za uhakika akizitoa Zari mwenyewe ambaye wamezaa watoto watatu wote wakiwa wa kiume alfajiri ya alhamisi ya Mei, 25.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...