Wednesday, May 13, 2015

BARCELONA YATINGA FAINALI

Messi, Suarez na Neymar wakishangilia bao

Miamba ya soka Hispania, Barcelona wamefanikiwa kutinga fainali baada ya kuibwaga Bayern Munich kwa jumla ya mabao 5-3 waliyokusanya katika mikondo yote miwili waliyokutana katika hatua ya nusu fainali.
 Katika mchezo wa usiku wa kuamkia leo ambao ulipigwa katika dimba la Allinza Arena, Bayern walipaswa kushinda bao nne bila ili wapate tiketi ya kusonga mbele.
 Lakini mpaka kipyenga kinapulizwa the Bavarian 3,Barcelona wakajipatia mabao mawili.
 Leo usiku kutakuwa na mchezo kati ya Real Madrid dhidi ya Juventus katika dimba la Banabeu.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...