Wednesday, May 13, 2015

JACQUELINE WOLPER: ANAETOKA NA NAY WA MITEGO AMESHAJULIKANA

Jacqueline Wolper

Muigizaji wa filamu zabkibongo, Jacqueline Wolper amewaweka njiapanda mashabiki wake kwa kaul yake kuwa msichana aliye katika uhusiano wa kimapenzi na msanii wa bongo flava Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' amekwishafahamika tofauti na alivyokuwa akihisiwa yeye.

 "Watu hawana dogo, ukiwa na ukaribu na mtu unaambiwa ni mpenzi wako, Nay hakuwahi kuwa mpenzi wangu kwa kuwa ni zaidi ya rafiki kwangu, ila watu wasio waelewa ndiyo waliokuwa wakivumisha kuwa tuna uhusiano kwa maslahi yao, lakini sasa ukweli umejulikana kama mnavyoona na mnavyosikia Nay ni wa nani" alieleza Jacqueline bila kuweka wazi ni nani anatoka na mwana hip hop huyo.

 Wolper aliongeza kuwa taarifa hizo ziliposanbaa alipata tabu ambapo alitumia muda mwingi kutolea maelezo kwa watu wake wa karibu.




No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...