Wednesday, August 20, 2014

ASERNAL YATOKA 0-0 NA BESIKTAS, AARON RAMSEY ALETA MAJANGA KWA KUONESHWA KADI NYEKUNDU


1408480185825_Image_galleryImage_Aaron_Ramsey

Kiungo wa Arsenal Aaron Ramsey alitolewa nje kwa kadi nyekundu katika mchezo wa kwanza wa mtoano wa ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya  Besiktas
ASERNAL wamelazimisha suluhu pacha ya bila kufungana na Besiktas ya Uturuki katika mchezo wa kwanza wa mtoano wa ligi ya mabaingwa barani Ulaya uliopigwa jana usiku katika dimba la  Ataturk Stadium
Kutoka sekunde za mwanzo, almanusura Demba Ba afunge bao lakini mpira aliopiga wa adhabu ndogo uligonga mwamba na ilionekana kuwa ni mechi ambayo ingekuw ana magoli mengi. Lakini Aaron Ramsey naye aliwakosa Waturuki hao baada ya kupiga shuti lililogonga mwamba.
Kadi nyekundu ya Aaron Ramsey aliyopata dakika za majeruhi kufuatia kuoneshwa kadi mbili za njano aliwahuzunisha zaidi Asernal kutokana na ukweli kuwa anahitajika sana katika mchezo wa marudiano ndani ya dimba la Emitarates.
Besiktas, na Ba wameonekana kuwa na nia ya kuwaonesha Chelsea kuwa walifanya makosa kumuuza mshambuliaji huyo kwani alionesha kiwango kizuri. Ili kusonga mbele, Asernal wanahitaji ushindi wa bao 1-0 tu mjini London jumanne ijayo.
Silly boy: Ramsey received (left) his second yellow card for bringing down Besiktas' Oguzhan Ozyakup (right)
Marching orders: Serbian referee Milorad Mazic (left) was left with no choice but to send off Ramsey for the foul
Dumbfounded: The realisation of his actions dawns on Ramsey as he heads down the tunnel at the Ataturk Stadium
Flabbergasted: Arsenal boss Arsene Wenger couldn't believe the decision given against his star midfielder 

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...