Friday, May 23, 2014

DAVID MOYES AZUA BALAA, AMPIGA DOGO MMOJA BAADA YA KUMTUKANA KWA KUPOTEZA KAZI MAN UNITED

Investigation: Moyes was present at the bar in Clitheroe at the time of the assault
Incident: Joshua Gillibrand claims he was attacked at just after 10pm on Wednesday night
 Tukio: Joshua Gillibrand anadai alishambuliwa majira ya saa 10:00 usiku wa jana jumatano.
 
Inasemekana Moyes alikerwa na kijana huyo mlevi aliyemtukana kocha huyo baada ya kufukuzwa kazi hivi karibuni na kumuita ‘s*** (hatujaona haja ya kutafsiri kimaadili), akimaanisha hajawahi kushinda kombe, alisema shahidi.
Baada ya maneno hayo vurugu ziliibuka mezani ambapo glasi zote zimeanguka chini.
Mr Gillibrand, alikula vibao na alichubuka kwenye bega kutokana na ugomvi huo, lakini hakuhitaji kwenda hospitali kupata matibabu zaidi.
Leo polisi walithibitisha kufungua uchunguzi juu ya tukio hilo na wanatarajia kuongea na kocha huyo wa zamani wa Everton.
Location: The Emporium wine bar in Clitheroe, Lancashire, where the alleged assault took place
Joshua Gillibrand works as a joiner
Gillibrand allegedly suffered a lump on the side of his head
 Huyu ndiye  Mr Gillibarticle-2636300-1E1B8C5800000578-730_634x419rand aliyekula kisago kutoka kwa David Moyes
Tafadhari Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Kwa Kubofya/ Click Neno Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...